25/06/2026
hii date 25 kila mwaka ni scam, 🙂↔️ wakati wa viongozi kujiuza Kwa serkali Dio waonekane wako na umati wa watu wapewe job na gava au wafanye handshake,tunajua leaders ... alafu badae mko ivi Kwa TVs zenu shindwe watoto wa wenyewe wakikia marisasi kwajioni mshinwe kabisa