IdahNash House of Spices

IdahNash House of Spices IdahNash House of Spices 🌶️
Nyumbani kwa viungo asilia vilivyochanganywa kwa utaalamu.

Ambavyo: Herbs Detox Tea, Biryani, Pilau, Red Meat, Samaki, Kuku & Mchuzi Mix.
🍃 100% Organic | Ladha Halisi.
👇 Wasiliana nasi:
0629999199

IdahNash House of Spices: Siri ya Ladha Halisi Jikoni Kwako! 🍲✨​Je, unatamani chakula chenye harufu ya kuvutia na ladha ...
19/04/2026

IdahNash House of Spices: Siri ya Ladha Halisi Jikoni Kwako! 🍲✨

​Je, unatamani chakula chenye harufu ya kuvutia na ladha itakayomfanya kila mmoja aombe kuongeza? Viungo vyetu vimetengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu ili kukupa vionjo vya kipekee na asilia.

​Orodha ya Bidhaa na Bei Zetu:
​🌿 Herbs Detox Tea Masala – Tzs. 10,000/= (Kwa afya na wepesi wa mwili)
​🍗 Kuku Masala – Tzs. 7,000/=
​🐟 Samaki Masala – Tzs. 7,000/=
​🥩 Red Meat Masala – Tzs. 7,000/=
​🍚 Pilau Masala – Tzs. 6,000/=
​🍲 Mchuzi Mix – Tzs. 5,000/=

​Ongeza Hamu ya Chakula (Appetizers):
​🌶️ Chachandu Appetizer – Tzs. 4,000/=
​🥭 Embe Appetizer – Tzs. 4,000/=

​📍 Tunapatikana:
Loliondo-Mailimoja, Kibaha
Posta Mpya, Dar es Salaam

​📞 Wasiliana nasi (WhatsApp/Kupiga): +255 629 999 199

​IdahNash House of Spices – Maestro wa Viungo na Pilipili.

Hello...IdahNash House of Spices haina viungo tu, pia tuna Appetizer nzuri ya kusindikiza mlo wako ulioupika kwa kutumia...
15/04/2026

Hello...
IdahNash House of Spices haina viungo tu, pia tuna Appetizer nzuri ya kusindikiza mlo wako ulioupika kwa kutumia viungo vyetu...😋

Chachandu yenye heshima yake mjini! 🔥​Unatafuta kionjo kitakachofanya kila mlo uwe na ladha ya kipekee? IdahNash Chachan...
15/04/2026

Chachandu yenye heshima yake mjini! 🔥
​Unatafuta kionjo kitakachofanya kila mlo uwe na ladha ya kipekee? IdahNash Chachandu Appetizer ndiyo jibu lako. Imetengenezwa kwa viungo asilia, usafi wa hali ya juu, na ladha itakayokuacha unalamba vidole! 😋
​Bila IdahNash Chachandu Appetizer, mlo haujakamilika.​



SIRI YA CHAKULA KUNOGA IPO HAPA! 🍲🔥​Watu wengi wanashindwa kufurahia chakula kwa sababu wanakosa "Appetizer" sahihi. Leo...
15/04/2026

SIRI YA CHAKULA KUNOGA IPO HAPA! 🍲🔥
​Watu wengi wanashindwa kufurahia chakula kwa sababu wanakosa "Appetizer" sahihi. Leo tunakuletea IdahNash Chachandu Appetizer, kionjo ambacho kimekuwa gumzo kwa ubora na ladha yake ya ajabu.
​Kwa nini uchague IdahNash Chachandu?
1️⃣ Viungo Asilia: Tunatumia viungo bora kabisa vinavyoboresha afya na hamu ya kula.
2️⃣ Usafi: Tunazingatia viwango vya juu vya usafi katika utengenezaji.
3️⃣ Inafaa kwa vyakula vyote: Iwe ni mboga za majani, samaki, nyama, au wali, IdahNash inaingia kote!
​Usipitwe na hii ladha, wateja wetu wa Kibaha na Dar es Salaam tayari wanajilia vitu vizuri.
​📍 Maeneo yetu:
​Loliondo-Mailimoja, Kibaha
​Posta Mpya, Dar es Salaam
​📞 Mawasiliano: 0629 999 199
​Weka oda yako sasa! IdahNash Chachandu — Ladha itakayokufanya upende kula nyumbani kila siku

06/04/2026
06/04/2026

I got over 50 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

CHAKULA KIZURI KINASTAHILI MWENZA WA HADHI YAKE! 🥭🔥​Je, unajua siri ya mlo kamili? Sio tu mpishi, bali ni kile unachosin...
31/03/2026

CHAKULA KIZURI KINASTAHILI MWENZA WA HADHI YAKE! 🥭🔥
​Je, unajua siri ya mlo kamili? Sio tu mpishi, bali ni kile unachosindikiza nacho kila tonge! Tunakuletea —ladha halisi ya asili iliyosheheni viungo bora k**a Embe, Tangawizi, Paprika, na vionjo vya kutosha kuamsha hamu yako ya kula.
​Usile chakula kavu-kavu au bila mzuka. Ongeza nakshi ya IdahNash kwenye meza yako leo. Iwe ni Wali, Ugali, au Nyama choma... bila IdahNash mlo unakuwa haujakamilika...
​✅ 100% Asilia | Ladha ya Nyumbani | Imetengenezwa Tanzania
📞 Agiza sasa: 0629 999 199

31/03/2026

AMSHA LADHA YA KILA TONGE NA IDAHNASH EMBE APPETIZER! 🌶️🤤

​Kuna kula, na kuna "Kufurahia mlo." Ukijumlisha chakula chako kizuri na IdahNash Embe Appetizer, kila kijiko kinakuwa sherehe mdomoni...

​Mchanganyiko wa embe na viungo asilia unakupa ladha ambayo huwezi kuipata popote pale. Ni Fresh, ni Tamu, na ni Appetizer ya kweli...

​"Chakula bora, Appetizer bora kutoka IdahNash House of Spices."

​📍 Wasiliana nasi: +255 629 999 199

31/03/2026

IDAHNASH EMBE APPETIZER: MWISHO WA MATATIZO YA HAMU YA KULA! 🥭💥

​Chakula kimefika mezani lakini mzuka mdogo?

​Unataka ladha ya kipekee kwenye mlo wako?

​Suluhisho ni moja tu: IdahNash Embe Appetizer. Ni mchanganyiko wa kijadi na kisasa, asilia kwa 100%. Usikubali kula mlo wako bila "Ladha" ya IdahNash...

​Piga/WhatsApp: +255 629 999 199

IdahNash: Ladha Asilia, Afya yako, Furaha yetu!

31/03/2026

IdahNash House of Spices hatupoi hatuboi...🔥

Jipatie set nzima kwa bei ya offer ya Pasaka yani badala ya Tzs. 50,000/= utaipata kwa bei ya Tzs. 45,000/=  👌
31/03/2026

Jipatie set nzima kwa bei ya offer ya Pasaka yani badala ya Tzs. 50,000/= utaipata kwa bei ya Tzs. 45,000/= 👌

Mambo kwa ushahidi...👌
30/03/2026

Mambo kwa ushahidi...👌

Address

300041
Kibaha
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IdahNash House of Spices posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category