03/11/2022
PROGRAM MAALUM YA KUPUNGUZA UZITO
_________________________
Dr kibudi
Call +254715350181 🇰🇪
WhatsApp Telegram Imo
_________________________
K**A UNATAKA KUFANIKIWA KWA HARAKA JUU YA TATIZO LAKO ACHA KUTUMIA HIVI VITU KWA SIKU 90
1) ACHA KABISA KUTUMIA SUKARI AINA ZOTE
- chochote kilicho pikwa au kutengenezwa kwa sukari usitumie kabisa.
2) USITUMIE KABISA VYAKULA VYA WANGA
✔️Mahindi(Ugali)✔️Mtama✔️Mihogo✔️Viazi Vitamu
✔️Ngano Nyeupe✔️Mikate Myeupe✔️Mtama
✔️Mchele✔️Keki✔️Soda✔️Tambi
✔️Mafuta ya Kupikia ya Kiwandani
✔️Maandazi✔️Chumvi Ya Mezani
✔️Vilevii aina zote
3) Acha kabisa kutumia matunda ya asili ambayo Yana sukari nyingi Sana
✔️Ndizi za kuiva✔️ mananasi✔️maembe yaliyoiva Sana
4) Usitumie kabisa vyakula vya viwandani
✔️keki✔️Biskuti✔️ Chocolate
5) Usitumie kabisa mafuta ya viwandani
6) Hauruhusiwi kufanya mazoezi
TUMIA VYAKULA (vitu) VIFUATAVYO
✔️Tumia vyote ambavyo hatujavitaja
✔️Tumia Asali kijiko kimoja kidogo kutwa Mara moja
✔️Mboga za majani aina zote kula
✔️Tumia Ndizi mpiko
✔️Tumia matunda lakini kwa kiwango kidogo kidogo. Mfano; tumia tunda moja moja
✔️Tumia parachichi na tango kwa wingi sana
✔️Kunywa maji kwa wingi sana
✔️ Kwenye mafuta, tumia; ✓maziwa ✓karanga✓nazi✓mafutaya zaituni( olive oil)
✔️Tumia kuku, mayai, samaki
✔️Tumia viazi
✔️Tumia chumvi ya mawe
✔️Kachumbari tumia
✔️Njugu mawe, maharagwe, dagaa
✔️Tumia nyama yenye kitunguu swaumu na tangawizi
✔️Tumia vyakula vyenye asili ya vitamin C kwa wingi. Usitumie K**a una vidonda vya Tumbo.
_________________________
```Bonyeza hii link itakuleta *INBOX* Whatsapp moja kwa moja```
⤵️⤵️
_____________________________________
https://wa.me/254715350181
_____________________________________