Emanuel El mafie

Emanuel El mafie Former student NOSEIYA PRM ,NKOASENGA SEC,ENABOISHU HIGH SCHOOL,MONG'ARE COLLEGE

Bukayo Saka ni miongoni mwa nyota walikua mwiba mkali na mchungu Kwa real Madrid
17/04/2025

Bukayo Saka ni miongoni mwa nyota walikua mwiba mkali na mchungu Kwa real Madrid

04/12/2024

Asking for
1 bedroom and sitting
2 bedroom and sitting
3Bedroom and sitting
ALL AVAILABLE CALIFORNIA

Uganda ,uganda ,Uganda what's wrong with you
04/09/2024

Uganda ,uganda ,Uganda what's wrong with you

Mwanasiasa mashuhuri Nchini Uganda, Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi ambaye pia amekuwa akijulikana kwa jina la kisanii la Bobi Wine, amejeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni na Polisi wakati Polisi wakiwatawanya Wafuasi wake katika eneo la Bulindo Manispaa ya Kira.

Vyombo vya Habari Nchini Uganda vimeripoti kuwa Bobi amepigwa risasi mguuni kauli ambayo imethibitishwa na Admin wa ukurasa wa X wa Bobi Wine ambaye amekiri Bobi amepigwa risasi na tayari ameshawahishwa Hospitali kwa ajili ya matibabu.

04/09/2024

Kwa habari za uhakika

Address

Emanmafie196@gmail. Com
Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Emanuel El mafie posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category