Elly Wanjala

Elly Wanjala Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Elly Wanjala, Grocers, Nairobi.

Na Vijana mkipeana mimba tafadhali go to the hospital and do what we call an Ultra sound. Ultra sound ni ile wanaekelean...
05/09/2026

Na Vijana mkipeana mimba tafadhali go to the hospital and do what we call an Ultra sound. Ultra sound ni ile wanaekeleanga bibi kafimbo kwa tumbo namna hii,wanapiga yeye exray wanaona mtoto inakaa namna gani. It helps you know if your unborn child is healthy,or not,or if the developing problem can be handled.

Its very sad to see young parents deal with disabilities that could have been prevented. Unajua kusema ukweli ni heri kakiwa na shida ukatoe tu ile wakati kanatoshana na ngumi,mjaribu tena round two. Juu sasa kakizaliwa kakiwa na shida niivo,huezi rudi nyuma,ni upambane mpaka pale mwenyezi mungu atakufikisha. Huezi ua mtoto

Hebu tufanye hii kitu inaitw Ultra sound. Na wewe k**a kijana mwenzangu, k**a huna pesa ya ultra sound just DM me,unaimbie k**a nilikua hapo ukiskia msuri. Shenzi sana

Khabusie!

Kuna time nilienda hapo Rongai kwa pool mangai, hapana chesa na hawa gamblers, jamaa aliwekekelea punch na alikuwa anaka...
02/09/2026

Kuna time nilienda hapo Rongai kwa pool mangai, hapana chesa na hawa gamblers, jamaa aliwekekelea punch na alikuwa anakaa mlevi nikaona huyu nitanyorosha quickfast ..game ya kwanza nikacharaza yeye..gaidi ikasema hata tunaweza guza tena kastamaa, nikaona hii ni opportunity ya kutengeneza doh haraka haraka. Tuliweka 3k na nikaambia jamaa ianze dju nilijuwa naenda kunyorosha yeye k**a vile bosco yangu ilinyoroshwa kwa msikiti pale mumias mangai ,sikumbuki nikiguza hiyo stick tangu game ianze na hivyo ndiyo nilipoteza thiri tausan mangai, hapana chesa na vijana wepesi hapa nje..wanajuwa kuji position wallai. Khupa khuchee

Sai nayo mende zimekua kichwa ngumu, haziskii hizi dawa za kuspray. Kwanza ukiwachilia namna hii unaskia "yes kidole sam...
31/08/2026

Sai nayo mende zimekua kichwa ngumu, haziskii hizi dawa za kuspray. Kwanza ukiwachilia namna hii unaskia "yes kidole sambusaaa, leo tumepta ka deodorant"

Unatoka kwa nyumba k**a umepiga ukijua sasa jioni ni kuziokota unapata zilikuoshea mpaka vyombo ju uko caring and diplomatik. Ata zile mginjwa unapata zilipona.

Hapa k**a huna zile unapiga mpaka sahani za blue zinakua green jua huwezani na mende. Shida ya hizi kali ni ati lasma uhame siku tatu kwanza ndio harufu isikumalise.

Hii Nairobi lakini....

Elimon paraguii

Hii kitu inaitwa free masons usidhani ati hakuna. Ni vile sasa walirebrand wanajiita clubs siku hizi. Unapata golf clubs...
31/08/2026

Hii kitu inaitwa free masons usidhani ati hakuna. Ni vile sasa walirebrand wanajiita clubs siku hizi. Unapata golf clubs mara 5am club.

Hawa ni jamaa wamejua kasiri mahali na wakaamua kunyamazia. Sasa hawa jamaa wakipatana wanaform kagroup yao k**a watu kumi hivi. Watakua wanapeana mabiz wenyewe kwa wenyewe na kushare knowledge.

After sometime unaanza kuona jamaa na chopper na private jets. Wewe kazi ni kusema "I tap into their blessings" bois itabidi uamke ju hapa utatap uchoke.

Ukiskia kuna Billionares networking forum kuna higher chances utatoka hapa vile ulikuja. These guys guard their circles buana.

Stay guided wazee

Kuna time nilienda bank fulani hapo eldy ku withdraw some bulky cash...teller alikuwa ameshika doh but before anipe  nik...
29/08/2026

Kuna time nilienda bank fulani hapo eldy ku withdraw some bulky cash...teller alikuwa ameshika doh but before anipe nikaona akatoa tululu akatwanga , halafu aka open whatsapp akatuma text then akanipea kichelede yangu mangai, mimi nami si mgeni wa taon nikaona hapa nikitoka na pesa naweza pigwa kofii moja quickfast na vijana wepesi hapo nje niende kwangu nikiwa hoi bin laden na empty wallet k**a hiyo yako😅
nilichukua hizo doh nikakaa kidogo halafu nika deposit tena kwa teller next, nikaona huyu teller alini serve wa kwanza aka click halafu akatoa tululu tena akatext ...hapo nikajuwa nimeponea sana mangai. hiyo siku ningejuwa mbona man joseh alikaa na wife hiyo time yote bila kumtoa u bikira😂

hapa nje siyo kuzuri tukae rada wase
chesa

There are things your wife can do to you or for you,and you will lack sleep trying to figure out how she came to such a ...
29/08/2026

There are things your wife can do to you or for you,and you will lack sleep trying to figure out how she came to such a decision. Mimi Siku niliingia kwa hii nyumba nikapata bibi amenunua apron mbili ati ya kuvaa tukilala,yake ya tiger na yangu ya sungura iko na kamkia apa nyuma,hapa ndio nilijua nimelegeza uongozi wa ufalme wangu. Nilijiuliza maswali mingi sana. Do you know how low your wife must think of you to decide to do such a thing? Hiyo ni kumaanisha amekaa chini akafikiria na akaona mzee yangu ni nugu,yani ni mtu useless

Bwana apa sasa ndio niliangalia namna hii nikaona nisipokaa ngangari,apa watanigongea. Juu akuna heshima. Sasa si lazima nifanye ile tunaita asserting dominance. Nyumba nikaanza kuingia na somaset, k**a Recce squad. Saa mbili ilikua inafika wanasongesa curtain, na mlango inafunguliwa wazi,mzee anaweza ingia any time. Tukimaliza kukula tunasimama tunaimba national anthem of East africa. Tunakaa chini sasa kuona TV. Kabla tulale naingia ceiling,napiga mabati heady,nateremka.

Niliuza uwoga hii nyumba miezi tatu mfululizo. Mwezi ya nne bibi nakwambia alikua ameingia line. Usiku ata akienda choo kukojoa,lasima aniombe ruhusa. “my husband,can i please go to the toilet?” Namwambia yes Joy and hurry up. Weh! Bwana this thing called masculinity they will never teach you in unifasti

Khabusie!

Kuna watu wanafuatanga in the footsteps of honey buger, hawa ata waneza ruka nje ya gari ikiwa expressway. They don't kn...
29/08/2026

Kuna watu wanafuatanga in the footsteps of honey buger, hawa ata waneza ruka nje ya gari ikiwa expressway. They don't know the limits za reality na movie.

Ni vizuri mambo ya honey buger k**a kupigana na nyoka na kuiba asali tuiwachie.

This is the food we should be taking for breakfast. Ukizoea hii chakula utakua barubaru.Sasa shida hii chakula ni very c...
26/08/2026

This is the food we should be taking for breakfast. Ukizoea hii chakula utakua barubaru.

Sasa shida hii chakula ni very cheap kule countryside, unachukua kapiece kadogo ya shamba unawekelea nduma, mihogo, ndizi na kagym ya kuinua after umeshiba.

Ukikuja Nairobi hii chakula hainunuliki nik**a tu public transport, very expensive. Ukikula hivi wan week na mshahara ya vandre utasota mbaya saidi.

We want to eat organic food lakini mfuko inasema "La haula ndugu yangu". Lakini ipo siku

Hapa ata huwa hauskii uchungu. Such an impact sends you straight to the first row of Sayun. Ata kwa gate huwes pata mtu,...
25/08/2026

Hapa ata huwa hauskii uchungu. Such an impact sends you straight to the first row of Sayun. Ata kwa gate huwes pata mtu, ni kuingia direct.

Hapa lasma lori imegongwa ilikua parked on the road (kawaida ya Kenyans). Ata speed ya 70 ukipata a stationary object utakaskia.

May they RIP

Sai nayo pombe mnatengeneza ni fek fek jameni. Yaani sai kupata pombe legit nik**a kupata blueprint ya Singapore. Pombe ...
25/08/2026

Sai nayo pombe mnatengeneza ni fek fek jameni. Yaani sai kupata pombe legit nik**a kupata blueprint ya Singapore.

Pombe unawekelea kwa mdomo namna hii mpaka nava sistem inashtuka. Inashangaa "mwenzetu kaamua kunywa rat rat?". Kabla ujue kunaenda aje minyoo zishakonekt na sayun. Na ukiona pombe inamalisa minyoo hiyo inaweza ua engine mangai.

Sasa hangover itakupata imeenda jacaranda skyl of goons. Inakueka kwa kitanda siku tatu. Ata ukicheza unaingia rifaroo buana. Tuwe watu wangwana ata k**a ni pesa tunatafuta

Elimon paraguii

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elly Wanjala posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category