Newton opele1

Newton opele1 I like preaching the word of God

12/05/2025

With Georgina Njenga โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 8 months in a row. ๐ŸŽ‰

20/02/2025

With Nasieku โ€“ I just got recognised as one of their top fans!

20/02/2025

With Obure Ke โ€“ I just got recognised as one of their top fans!

20/02/2025

With Peter Wa Mbatia โ€“ I just got recognised as one of their top fans!

17/02/2025

๐Œ๐ˆ๐’๐ˆ๐๐†๐ˆ ๐˜๐€ ๐ˆ๐Œ๐€๐๐ˆ

๐๐„๐–๐‰๐„๐‘๐”๐’๐€๐‹๐„๐Œ ๐‚๐‡๐”๐‘๐‚๐‡ ๐Ž๐… ๐‡๐Ž๐‹๐˜ ๐‚๐‡๐‘๐ˆ๐’๐“๐ˆ๐€๐๐’ โ˜žHili ni kanisa la Kipentecoster lenye misingi imara ambayo chimbuko lake ni ๐๐ข๐›๐ฅ๐ข๐š ๐“๐š๐ค๐š๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฎ ambayo ni Neno la ๐Œ๐”๐๐†๐” aliye hai na wa kweli
misingi ya imani ya kanisa hili ipo (16) ambayo ni k**a ifuatavyo

1. ๐Œ๐€๐€๐๐ƒ๐ˆ๐Š๐Ž ๐˜๐€๐‹๐ˆ๐˜๐Ž ๐•๐”๐•๐ˆ๐–๐€
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba Maandiko yote yaliyopo kwenye ๐๐ข๐›๐ฅ๐ข๐š ๐ญ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฎ yaani ๐‘จ๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’๐’† na ๐‘จ๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’‹๐’Š๐’‘๐’š๐’‚
yamevuviwa kihalisi na ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ na ni Ufunuo wa ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ kwa mwanadamu, ni mamlaka ya mwisho ya imani yetu
(2Tim.3:15-17; 1The.2:13; 2Pet. 1:2)

2. ๐Œ๐”๐๐†๐” ๐Œ๐Œ๐Ž๐‰๐€ ๐€๐‹๐ˆ๐˜๐„ ๐‡๐€๐ˆ ๐๐€ ๐–๐€๐Š๐–๐„๐‹๐ˆ
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ni mmoja tu aliye hai na wa kweli amekwisha kujifunua mwenyewe k**a โ€œ๐Œ๐ˆ๐Œ๐ˆ ๐๐ˆ๐Š๐Žโ€ wa milele, muumbaji wa mbingu na nchi na Mkombozi wa Ulimwengu na Wanadamu. Yeye pia amejifunua zaidi k**a mwenye kufuata mwenendo na ushirikiano na uhusiano katika
Baba,Mwana na Roho Mtakatifu
(Kumb. 6:4; Isa.43:10,11; Mat.28:19; Lk.3:22).

3. ๐”๐”๐๐†๐” ๐–๐€ ๐๐–๐€๐๐€ ๐˜๐„๐’๐” ๐Š๐‘๐ˆ๐’๐“๐Ž
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba Bwana Yesu Kristo ni ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ pamoja nasi aliye jifunua kwetu k**a Mwana wa Mungu na ana sifa zote za ๐”-๐”๐๐†๐”
(Yoh.1:1; 8:58; Isa.9:6; 1Yoh.5:20).
๐‘ˆ๐ป๐ด๐พ๐ผ๐พ๐ด ๐‘Š๐ด ๐‘ˆ๐‘ˆ๐‘๐บ๐‘ˆ ๐‘Š๐ด ๐‘Œ๐ธ๐‘†๐‘ˆ ๐พ๐‘…๐ผ๐‘†๐‘‡๐‘‚
(๐ข) Kuzaliwa kwake na bikira (Mt.1:23; Lk.1:31:35).
(๐ข๐ข) Maisha yake ya ukamilifu yasiyo na dhambi wala makosa (Ebr.7:26; 1Pet.2:22).
(๐ข๐ข๐ข) Miujiza yake (Mdo. 2:22, 10:38).
(๐ข๐ฏ) Kazi yake ya malipizi juu ya msalaba (1Kor.15:3, 2Kor.5:21).
(๐ฏ) Ufufuo wake kimwili kutoka katika wafu (Mt.28:6; Lk.24:39, 1Kor.15:4).
(๐ฏ๐ข) Kutukuzwa kwake kwenye mkono wa kuume wa Mungu (Mdo.1:9; 11; 2:33; Fil.2:9-11; Ebr.1:3).

4. ๐€๐๐†๐”๐Š๐Ž ๐‹๐€ ๐Œ๐–๐€๐๐€๐ƒ๐€๐Œ๐”
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu akiwa mzuri na mwema, maana Mungu alisema: โ€œNa tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetuโ€. Hata hivyo mwanadamu kwa uasi wa hiari yake mwenyewe alianguka na kwa njia hiyo akajiletea mauti siyo ya kimwili tu, bali pia mauti ya kiroho ambayo ni kutengwa na Mungu (Mwa.1:26, 27; 2:17; 3:6; Rum. 5:12-19).

5. ๐–๐Ž๐Š๐Ž๐•๐” ๐–๐€ ๐Œ๐–๐€๐๐€๐ƒ๐€๐Œ๐”
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba tumaini la pekee la mwanadamu la ukombozi ni kwa njia ya damu ya Yesu Kristo,Mwokozi wetu iliyomwagika pale msalabani.
๐‘ด๐‘จ๐‘บ๐‘ฏ๐‘จ๐‘น๐‘ป ๐’€๐‘จ ๐‘พ๐‘ถ๐‘ฒ๐‘ถ๐‘ฝ๐‘ผ
1ยป๐‘‡๐‘‚๐ต๐ด
Tunaamini kwamba wokovu unapatikana kwa njia ya toba kutubu dhambi zote na kuziacha kisha kumgeukia Mungu.
2ยป๐พ๐‘ˆ๐‘€๐‘Š๐ด๐‘€๐ผ๐‘๐ผ ๐ต๐‘Š๐ด๐‘๐ด ๐‘Œ๐ธ๐‘†๐‘ˆ ๐พ๐‘…๐ผ๐‘†๐‘‡๐‘‚
Tunaamini kwamba ili uweze kuokoka unatakiwa kumwamini Yesu Kristo na kumkiri kwa kinywa chako kwamba yeye ni Bwana na Mwokozi wako.
Masharti haya yanafaida kubwa k**a vile
{๐ข} Kufutiwa dhambi zote
{๐ข๐ข} kuoshwa kwa kufanywa upya
{๐ข๐ข๐ข} kuzaliwa mara ya pili kwa njia ya Roho Mtakatifu,
{ ๐ข๐ฏ}kuhesabiwa haki kwa neema kwa njia ya imani,
Tunaamini mwanadamu hufanyika mrithi wa Mungu kulingana na tumaini la uzima wa milele (Lk.24:47; Yoh.3:3; Rum.10:13-15; Efe. 2:8; Tito 2:11; 3:5-17).
๐‘ผ๐‘บ๐‘ฏ๐‘จ๐‘ฏ๐‘ฐ๐‘ซ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘จ ๐‘พ๐‘ถ๐‘ฒ๐‘ถ๐‘ฝ๐‘ผ
Tunaamini kwamba ushahidi wa wokovu upo wa namna mbili
{ ๐’Š} Ushahidi wa ndani huu ni ushuhuda wa moja kwa moja wa Roho Mtakatifu (Rum. 8:16).
{๐’Š๐’Š} Ushahidi wa nje kwa watu wote ni maisha ya haki,ukamilifu,usafi na Utakatifu wa kweli
(Efe. 4:24; Tito 2:12).

6. ๐Œ๐€๐€๐†๐ˆ๐™๐Ž ๐˜๐€ ๐Š๐€๐๐ˆ๐’๐€
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tumepokea na tunayatendea Kazi maagizo tuliyo agizwa na ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ambayo ni k**a ifuatavyo
๐‘ˆ๐ต๐ด๐‘‡๐ผ๐‘๐‘‚ ๐‘Š๐ด ๐‘€๐ด๐ฝ๐ผ ๐‘€๐ธ๐‘๐บ๐ผ
Tunaamini juu ya agizo la ubatizo wa kuzamisha linatolewa katika Maandiko Matakatifu. Wote wanaotubu na kumwamini Kristo k**a Bwana na Mwokozi wa maisha yao wanapaswa kubatizwa kwa maji mengi yaani kuzamishwa.
Kwa njia hiyo, wanautangazia ulimwengu kwamba wao wamekufa pamoja na Kristo na pia kwamba wao wamefufuliwa pamoja naye ili kuenenda katika mwenendo mpya wa utakatifu na uzima wa milele (Mt.28:19, Mk.16:6; Mdo.10:47, 48; Rum. 6:4).
๐‘ˆ๐‘†๐ป๐ผ๐‘…๐ผ๐พ๐ด ๐‘€๐‘‡๐ด๐พ๐ด๐‘‡๐ผ๐น๐‘ˆ
Tunaamini juu ya meza ya Bwana ambayo ina mkate na matunda ya mzabibu ni mfano wa kuelezea ushirika wetu wa asili ya ki-Mungu na Bwana wetu Yesu Kristo (2 Pet.1:4). Ni kumbukumbu ya mateso yake na kifo chake (1Kor.11:26) na ni sharti kwa waamini wote hata ajapo Yesu Kristo mara ya pili.

7. ๐”๐๐€๐“๐ˆ๐™๐Ž ๐–๐€ ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐”
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba waamini wote wanatakiwa na wanayo haki ya kutafuta ahadi ya baba, yaani ubatizo wa Roho Mtakatifu, kulingana na agizo la Bwana wetu Yesu Kristo. Huu ulikuwa ni ujuzi wa kawaida kwa wote waliokuwemo katika kanisa la mwanzo la Kikristo. Pamoja na huo ubatizo huja uwezo kutoka kule juu (mbinguni) kwa ajili ya maisha ya utumishi, na kutolewa kwa karama pamoja na matumizi yake katika huduma (Lk.24:49; Mdo.1:4; 8; 1Kor.12:1-31). Ujuzi huu ni tofauti kabisa ingawa unalingana na ujuzi wa kuzaliwa upya (Mdo.8:12-17; 10:44-46;11:14-16; 15:7-9).
Pamoja na ujuzi huo wa ubatizo katika Roho Mtakatifu kunakuja ujuzi mwingine k**a kujazwa mpaka kufurika kwa Roho Mtakatifu (Mdo.2:43, Ebr.12:28), kujitoa kwa hali ya juu kwa ajili ya Mungu na kujiweka wakfu kwa ajili ya kazi yake (Mdo.2:42), pamoja na upendo wenye vitendo zaidi kwa Kristo na kwa Neno lake na kwa wanaopotea (Mk.16:20).

8. ๐”๐’๐€๐‡๐ˆ๐ƒ๐ˆ ๐–๐€ ๐”๐๐€๐“๐ˆ๐™๐Ž ๐–๐€ ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐”
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba ubatizo wa waamini katika Roho Mtakatifu unashuhudiwa kwa ishara ya nje iliyo ya kimwili ya kunena kwa lugha nyingine k**a Roho wa Mungu anavyowajalia hao kutamka (Mdo.2:4). Huku kusema kwa lugha ni sawa sawa na ile karama ya aina za lugha (1Kor.12:4-10,28) ingawa ni tofauti katika makusudi na matumizi.

9. ๐”๐“๐€๐Š๐€๐’๐Ž
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba utakaso ni tendo la kutengwa na kile kilicho kiovu na kujiweka wakfu kwa ajili ya Mungu (Rum. 12:1,2; 1Thes. 5:23; Ebr.13:12). Maandiko yanatufundisha juu ya maisha ya Utakatifu ambao pasipo huo hakuna mtu atakayemwona Mungu (Ebr. 12:12-14). Kwa uwezo wa Roho Mtakatifu sisi tunao uwezo wa kutii amri ile: โ€œIweni watakatifu k**a mimi nami nilivyo Mtakatifuโ€ (1Pet. 1:15,16).
Hivyo ni wajibu kwetu k**a kanisa kuhakikisha kila mwamini anaishi maisha matakatifu yasiyo na dhambi wala mapungufu Utakaso huwa halisi katika mwamini kwa kugundua na kufahamu utambulisho wake na Kristo katika kifo chake na kufufuka kwake, na kwa imani akijihesabia kila mara kwamba yumo katika muungano huo, na kwa kutoa kila kiungo kila mara kwa utawala wa Roho Mtakatifu (Rum. 6:1-11;13; 8:12;13; Gal.2:20; Filp. 2:12; 13; 1Pet. 1:15).

10. ๐Š๐€๐๐ˆ๐’๐€
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba kanisa ni mwili wa Kristo, makao ya Mungu kwa njia ya Roho, lenye vyeo vya ki-Mungu kwa ajili ya utimizo wa kazi yake kuu. Kila mwamini aliyezaliwa kwa Roho ni sehemu muhimu ya kanisa ambalo ni kusanyiko la wazaliwa wa kwanza Watakatifu walioandikwa majina yao Mbinguni (Efe.1:22;23; 2:22; Ebr.12:23).

11. ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba huduma ya ki-Mungu pamoja na utumishi uliopangwa na maandiko umetolewa na Bwana wetu Yesu Kristo kwa makusudi matano:
(1) Kuhubiri injili kwa mataifa yote na ulimwengu wote (Mk 16:15);
(2) Kujengwa kwa mwili wa Kristo yaani kanisa (Efe.4:11-13);
(3) Kumuabudu Mungu katika roho na kweli (Yh.4:23-24);
(4) Kumtumikia Mungu (1Kor.12; Rum.12);
(5) Ushirika Mtakatifu (Mdo.2:42-46).

12. ๐”๐๐Ž๐๐˜๐€๐‰๐ˆ ๐–๐€ ๐Š๐ˆ-๐Œ๐”๐๐†๐”
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba uponyaji wa kimungu ni sehemu muhimu ya Injili. Kufunguliwa kutoka kwenye magonjwa na vifungo mbalimbali ni haki ya kila anayeamini
(Isa. 53:4; 5; Mt. 8:16;17; Yak. 5:14-16).

13. ๐“๐”๐Œ๐€๐ˆ๐๐ˆ ๐‹๐„๐๐˜๐„ ๐๐€๐‘๐€๐Š๐€
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini juu ya ufufuo wa wale ambao wamelala katika Kristo na kunyakuliwa kwao pamoja na wale walio hai waliosalia mpaka wakati wa kuja kwake Bwana ndilo tumaini lenye baraka na lililo kuu la Kanisa (1Thes.4:16, 17; Rum. 8:23; Tito 2:13; 1Kor.15:51, 52).

14. ๐”๐“๐€๐–๐€๐‹๐€ ๐–๐€ ๐Š๐‘๐ˆ๐’๐“๐Ž ๐–๐€ ๐Œ๐ˆ๐€๐Š๐€ ๐„๐‹๐…๐”
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kuja kwa Yesu Kristo mara ya pili ni pamoja na kunyakuliwa kwa Watakatifu ambalo ni tumaini lenye baraka, kukifuatiwa na kurudi kwa wazi kwa Kristo pamoja na Watakatifu wake kwa ajili ya kutawala hapa Ulimwenguni kwa muda wa miaka elfu moja (Zek. 14:5; Mt. 24:27;30; Ufu.1:7; 19;11-14; 20:1-6). Utawala huu wa miaka elfu moja utaleta wokovu kwa Israeli k**a taifa (Eze. 37:21,22; Zef.3:19, Zab. 72:3-8; Mika 4:3,4).

15. ๐‡๐”๐Š๐”๐Œ๐” ๐˜๐€ ๐Œ๐–๐ˆ๐’๐‡๐Ž
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Tunaamini kwamba kutakuwepo na hukumu ya mwisho ambayo humo pia wafu waovu watafufuliwa na kuhukumiwa sawa sawa na matendo yao. Yeyote, ambaye hatakutwa ameandikwa katika Kitabu cha Uzima, pamoja na Shetani na malaika zake, mnyama na nabii wa uongo, watatupwa katika adhabu ya milele katika ziwa liwakalo moto na kibiriti, ambayo ni mauti ya pili (Mt. 25:46; Mk.9:43-48; Ufu. 19:20;20:11-15; 21:8).

16. ๐Œ๐๐ˆ๐๐†๐” ๐Œ๐๐˜๐€ ๐๐€ ๐ˆ๐๐‚๐‡๐ˆ ๐Œ๐๐˜๐€
๐ง๐ž๐ฐ๐ฃ๐ž๐ซ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐ž๐ฆ.๐œ๐ก๐œ โžช Kulingana na ahadi yake, tunatazamia mbingu mpya na nchi mpya ambamo haki yakaa ndani yake humo tutakaa na Mungu mwenyewe milele na milele (2Pet.3:13; Ufu. 21 na 22)

Ufunuo wa Yohana 21:4
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Neema ya Bwana Yesu Kristo
na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.
sisi niโžช ๐๐„๐–๐‰๐„๐‘๐”๐’๐€๐‹๐„๐Œ ๐‚๐‡๐”๐‘๐‚๐‡ ๐Ž๐… ๐‡๐Ž๐‹๐˜ ๐‚๐‡๐‘๐ˆ๐’๐“๐ˆ๐€๐๐’
โ˜๏ธŽ+255 692107628
๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ค๐š๐ง๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฆ๐ข๐ญ๐š๐ง๐๐š๐จ ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ข ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž TikTok , Facebook, Instagram,You tube, Twitter kwa jina la๐Ÿ‘‰.chc








14/02/2025

With Habil Akolo โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 5 months in a row. ๐ŸŽ‰

14/02/2025

With Michael Olunga โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 4 months in a row. ๐ŸŽ‰

14/02/2025

With Hybrid Klaus โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 4 months in a row. ๐ŸŽ‰

14/02/2025

With Nature loverโ€™s โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 4 months in a row. ๐ŸŽ‰

14/02/2025

With Princes Eddy โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 4 months in a row. ๐ŸŽ‰

14/02/2025

With Game Ni 90 โ€“ I'm on a streak! I've been a top fan for 4 months in a row. ๐ŸŽ‰

Address

Eldoret
Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Newton opele1 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Newton opele1:

Share

Category