21/01/2026
Good morning,,, k**a umeona siku ya Leo chukua tuh dakika zako mbili mwambie Mungu ni asanti...
Mungu Naja mbele zako asubuhi ya leo nikisema wastahili heshima na utukufu asanti Kwa kunipa siku mpya Jehova sio kawaida ila imetegemea mkono wako Mungu , ni wengi wangependa kuiyona siku ya leo ila hawakuiona Mungu ,,, ila Mimi umeniwezesha mbwana ni wengi wagonjwa ila umenipa afyia sio kusema nimefanya vyema ama kusema Mimi sio mtaenda dthambi ila ni huruma zako zimegarimu nakuomba Mungu utulinde Mungu kutokana na ajali Jehovah utuepushe na wenye Nia mbaya maishani mwetu , katika Jina la Yesu., tutakapo enda na tukirundi Jehovah adamana nasi mbwana katika Jina la Yesu , walio wangojwa waponye Jehovah nao walio wachwa na wapendwa wao wape Nguvu na Imani katika Jina la Yesu asanti maana watupenda asanti maana utajionesha maishani yetu katika Jina la Yesu, nawaombea my funs Wangu uwalinde Jehovah na pia uwape watakayo katika Jin a la yesu usinisahau Mungu ukibaliki ni baliki pia na hitaju baraka zako katika Jina la Yesu asanti maana umeskia na nikatika Jina la Yesu naomba na kuamini .... AMINA... uwe na siku njema na ufanikiwe
Follow my Gospel Minister SAMMY WAITHAKA FUNS